Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Hahahaaaaaa! Hapo sawa manake huku kuna mchakato usio rasmi! Watu wote tumeamua kubanana hapo hapo!!!!! Hamna anaekata tamaa!
Atakuwa mzabzab tu huyo...mzee wa mgegedo kielectronic
Hahahaaaaaa! Hapo sawa manake huku kuna mchakato usio rasmi! Watu wote tumeamua kubanana hapo hapo!!!!! Hamna anaekata tamaa!
Kwa hiyo tusubiri pilau??hahah daughter wangu siwezi kumgegeda bwana....ila zion nampenda sana
Ile ni mali ya Uma!!!!!!! Kujibinafsishia hakutakiwi! Ujamaa wako uko wapi!
He is too good to be owned by 1 woman!!!!!!!!! ITS JST NOT FAIR!!!!!!!
Kwa hiyo tusubiri pilau??
Arusi au umeghairi unataka kugegeda tupilau la nini tena?
hahaha me nshapata humuhumu haziumizi kichwa gharama keybord tu