Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nduguKama ndungulile kafa na 45 akiitwa kijana
Huyu anakuwaje mzee kwa huo umri?
Pole sana broo, achana na habari za mapenzi focus kwenye nyeto huna vigezo vya kumiliki mwanamke 🥶Habari, jina langu halisi ni Baraka, nina miaka 39.
Kwa sasa, niko katika hali ngumu maishani. Sina makazi wala mali, na bado najitahidi kujenga maisha yangu upya. Hata hivyo, nina imani kwamba hali yangu itabadilika kwa wakati na mimi nitakuwa sawa baada ya muda.
Natafuta mwanamke mwenye moyo wa huruma, ambaye atakuwa tayari kushirikiana nami katika kipindi hiki cha changamoto. Ninahitaji mtu ambaye atakubaliana na mimi katika hali yangu ya sasa, na ambaye atakuwa na imani na mimi wakati nikijitahidi kusimama tena.
Ninajua kwamba maishani kuna changamoto, lakini pia kuna matumaini. Kama utakuwa tayari kupokea mapenzi yangu na kuwa sehemu ya safari yangu ya kujitafuta, nitashukuru sana.
Tafadhali, ikiwa unajiona kuwa na uwezo wa kuwa pamoja katika safari hii, usisite kuwasiliana nami. Ningependa kujua zaidi kuhusu wewe na kuona kama tunaweza kuwa na uhusiano wa maana.
Asante kwa kusoma ujumbe wangu, na natumai tutapata fursa ya kuzungumza zaidi.
Wenzake wa hio age walishastaafu huku. Wanakula pensheni zaoHivi man wa 39 ni mzee huko uliko?
This is stupidity of the highest order.!Wenzake wa hio age walishastaafu huku. Wanakula pensheni zao
Kwani MCHUMBA unaishi nae?King focus on you right now,
huna kazi mambo yako sio mazuri, huyo mchumba utamlisha nini?
Mchumba atapata mimba mzae utajipa stress ngumu sana...
Focus baba focus
Usimpotoshe huyo kijana..... unaishi na mchumba or notKwani MCHUMBA unaishi nae?
Jipe moyoThis is stupidity of the highest order.!
Mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.Dah kuwa na mwanaume asiye na pesa mtihani sana