Nahitaji mchumba mlemavu

Nahitaji mchumba mlemavu

Habari wana jamii forum..mm nipo serious naitaji mchumba kilema hasa awe hana miguu au masikio

Nimetokea kuwa na wanawake kadhaa ila saizi nawapenda na navutiwa na vilem...

Ushirikina huu
 
Mungu anasema atakupa wa kufanana nae usiwe na wasi utakuwa kilema siku moja umpate kilema mwenzako dont worry mungu anasikia maombi haraka
 
Una maana kwamba unataka asiesikia maeneno ya watu wala miguu ya kumuwezesha kwenda mbali akakuacha wewe?
Hapana mm navutiwa na hisia juu ya watu wa hivyo
 
Habari wana Jamii forum..mm nipo serious naitaji mchumba kilema hasa awe hana miguu au masikio

Nimetokea kuwa na wanawake kadhaa ila saizi nawapenda na navutiwa na vilema

Can yangu

1. Jinsia-me
2. Umri-25
3. Dini-Mlokole
Mkuu unataka uwafanye nini?! Au una siri gani na hao walemavu?
Funguka asee
Ongeza nyama vizuri[emoji848]
 
Back
Top Bottom