Nahitaji mchumba nikadumu nae hadi ndoa

Nahitaji mchumba nikadumu nae hadi ndoa

Joined
Jul 2, 2017
Posts
37
Reaction score
9
Naitwa Loveness Senzigwa nipo Usariver Arusha nahitaji nipate mchumba mwenye upendo wa dhati, nipo na mtoto mmoja wa kiume umri wake miaka minne, nahitaji mwenza tuweze kuanza maisha dini awe mkiristo asiwe mlevi tafadhali pia awe mcha Mungu maana itakua jambo jema.

Ni matumaini yangu mola atanibariki asante, kwa aliye tayari anichek hapa.

0746613876 SMS zitajibiwa lakini kueni serious
 
Mwanzoni ulikuwa kwenye ndoa ukaachika?

Au mtoto ulimpata nje ya ndoa?

Ukinijibu hayo maswali ndio kipengele chakutaka Mchamungu kitakaa vizuri sana.
 
Back
Top Bottom