Nahitaji mchumba Sio masihara

ahaaaaa!!!!!!!! haya heri zake je ndoa hizo zinadumu?
Hasa hayo ya kudumu kwa ndoa ni fanaka za Allah mwenyewe, si unajua unaweza kutana na your potential hubby, wife kanisani afu msidumu vile vile afu wale walokutana club full amani na wanadumu kwenye ndoa yao kama ufisadi na Tanzania...
 
Hasa hayo ya kudumu kwa ndoa ni fanaka za Allah mwenyewe, si unajua unaweza kutana na your potential hubby, wife kanisani afu msidumu vile vile afu wale walokutana club full amani na wanadumu kwenye ndoa yao kama ufisadi na Tanzania...

haya mkuu maana haya mambo yako complex in nature. yote yanawezekana
 
haya mkuu maana haya mambo yako complex in nature. yote yanawezekana
Yah muhimu ni kutake leap of faith, you just never know how life works, ts really mysterious n marvelous...

 
Dah kumbe tunatofautiana sn kufikiri, Kama mtu ambaye ni msomi (kama haukudanganya maana hii mitandao) anaweza kutoa tangazo la kutafuta mchumba hapa jm, Its tiresome! Hongera Bana.
 

Yes,sunshine,...nimependa mchango wako...teh teh.....
 
mwaka huu tusipotoka basi ,kuna mkono wa mtu ,wachumba wa kumwaga hapa,ngoja nitafute visa
 
nipo ubalozini hapa,nikishafanikiwa nakupm mkuu
 
Nicole japan inakuhusu hapa best
 
Last edited by a moderator:
Sokwe san, konbanwa.., watashi wa Himawari san desu. San jyu yon sai desu. Takasa wa hyaku roku jyu hachi desu. Watashi mo dokushin desu. Watashi tachi Tomodachi ni nareru ii desu ka?
 
Kazi kwenu kinadada!Jimwageni,but 39 yrs?mbona babu.
 
Kazi kwenu kinadada!Jimwageni,but 39 yrs?mbona babu.
ndo mzuri huyu keshachoka maisha hatasumbua sumbua kama vijana ,hapa nammezea mate kweli vile tu nimekosa visa
 
WEWE MSHIKAJI NENDA PALE OFISI za NEDCO nyuma ya mawenzi hoteli, pana receptionist halcast wa kiarabu anatafuta mchumba pia. au ukiingia ofisi za KAMATA sehemu ya dilisha za tiketi mna wasihana wapogolo wawili nao wanatafuta mchumba. au tafuta kiwanda cha TANITA pale vingunguti,namo muna wadada wengi tu wanatafuta wachumba.TAFICO pia kuna mhasibu anatafuta mume. ni juu yako kutafuta simu za mashirika na viwanda hivyo!
 
mkuu vimoko vya Japan havilipi?coz umesema unatafuta wa tz na nje ya tz.Jaribu huko Japan,ila tatizo wakizeeka sasa....u know hw they look like!
 
Nategemea kurudi nyumbani mwezi 12 mwaka huu kwa mapumziko, mkataba wangu wa kazi unakwisha 2016 Kama nitabahatika kupata mlengwa nitaishi nae hapa Japan, mkataba utapokwisha tutarudi nyumbani, urefu wangu 182 cm, rangi maji ya kunde,Sio mlevi, sivuti sigara, nipo tayari kupima afya wakati wowote nitaporudi nyumbani kwa mapumziko mwaka huu, tusiwe na dhana Kwamba watu wote ni wahuni! Unaweza kupata mke au mume sehemu yoyote inahitaji umakini tu.
 
usjali mkuu ipo ubalozini nikishapata visa nakupm soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…