Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Njoo PM.
 
Ahsante ila nimeona humu siyo Facebook, ndiyo maana hata jina tu unatumia fake is it? Are you Yello masai for real?
Shida ni dini tu vigezo vingine nimekidhi,
 
Watanzania wengi wafupi sana, wachache mno tumejaaliwa urefu kama mimi. Punguza kimo.
 
Wadada wa kitanzania wakishaajiriwa wanajiona wao ndio Kila kitu wanadharau hata wanaume ghafla wanashangaa muda umeisha
Wanashindwakuelewa hako kamshahara kake ni Pato la kawaida kabisa la siku Kwa mjasiriamali
Imagine; Kama unaweza ulanunua gari ya milioni 27 bila mkopo wowote
Je huyu muajiriwa atazunguka hapa miaka mingapi?
Alafu nashangaa mtu unamuomba namba tu anakuuliza niambie kwanza wewe unafanya kazi gani?
Mimi ni Msomi ujue
[emoji16][emoji16][emoji16] Wanawake wa kiafrika Kuna shida mahali
 
Unamaanisha uliulizwa kuhusu kazi yako?
 
SINA SIFA ZOTE , PIA MAPENZI YA DHATI SINA ....

[emoji117]utafutaji mwema.....
 
Chini ya futi 6 pita kushoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…