Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
Karibu
 
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
Urefu umenikosesha mke
 
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.

1. kanisani umekosa.
2. College/school/class mates hola.
3. Majirani imeshindikana.
4. Oficin imebuma.
5. Mashirika mnayoshirikiana kazini hola.
6. Na tax driver, Boda boda hola....

Baada ya hao wote wanaokufaham kushindikana, sasa umekuja Jamii forum kwa ambao hawakujui....

Ushauri:

Waowaji wapo wengi sana:

1. Badilika tabia.
2. Ongeza sala.
3. Jitunze and have morals.
4. Hata Kama Una hela, jishushe.
5. Usivuliwe chupi kirahisi.

Umeongelea swala la kupima, that means upo tayari kwenda kitandani next day, this tells a lot about your character, Safari ya mahusiano should take longer before sex.

Nimeshauri tu, yanaweza yakuume, Ilan. Kama upo open minded utakuwa umenielewa sana, I may be of great help to you ki ushauri.
 
1. kanisani umekosa.
2. College/school/class mates hola.
3. Majirani imeshindikana.
4. Oficin imebuma.
5. Mashirika mnayoshirikiana kazini hola.
6. Na tax driver, Boda boda hola....

Baada ya hao wote wanaokufaham kushindikana, sasa umekuja Jamii forum kwa ambao hawakujui....

Ushauri:

Waowaji wapo wengi sana:

1. Badilika tabia.
2. Ongeza sala.
3. Jitunze and have morals.
4. Hata Kama Una hela, jishushe.
5. Usivuliwe chupi kirahisi.

Umeongelea swala la kupima, that means upo tayari kwenda kitandani next day, this tells a lot about your character, Safari ya mahusiano should take longer before sex.

Nimeshauri tu, yanaweza yakuume, Ilan. Kama upo open minded utakuwa umenielewa sana, I may be of great help to you ki ushauri.
Ahsante kwa ushauri, Jumapili njema.
 
Ahsante kwa ushauri, Jumapili njema.
Kama bado hujapata mme njoo PM ila huo umri sijafikisha. Afu tambua umri na akili ya mtu n vtu viwili tofauti kabisa. Unaweza kuta mwanaume ana miaka 30+ lakn akili yake ni mvulana wa miaka 19.
 
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
Wale ambao tuna umri below 30 but vigezo vingine tunavyo tutume maombi pia!?😏😏
 
Umeongelea swala la kupima, that means upo tayari kwenda kitandani next day, this tells a lot about your character, Safari ya mahusiano should take longer before sex.

Tooo Subjective especially hii line apa
 
Back
Top Bottom