Ukilizwa mi simoTeh teeeh kumbe alikataa mimba
MmmmhAaah aah JF ina mambo! Juzi mmempeleka chaka B.O.G<sijamwona mkareee> mnadhani mtanikamata na miye? Huo ndiyo ukweli, kuweni na imani tu.
Mmmmh kumbe anajulikana duhhhh[emoji15] [emoji15] [emoji15]Wewe ni kiwembe. Unamsahau maria uliyempa mimba ukaikataa akajitoa jf?
Inna
[emoji3] kwan nani kakwambia namfuataUkilizwa mi simo
Si nakuona unamtolea miudenda.[emoji3] kwan nani kakwambia namfuata
Me nimekutolea ww tu miudenda bado sijapata mwingine wa kumtolea[emoji17]Si nakuona unamtolea miudenda.
We toka 2011 mchumba gani huyo anatafutwa?
Nakuambia hivi kwa vile nakujua sitaku kuona machozi yako
Sasa unataka mwingine wakati hatujatengeza mtoto badoMe nimekutolea ww tu miudenda bado sijapata mwingine wa kumtolea[emoji17]
Mimi ni kijana mwenye miaka 25, mrefu wa wastani, mcheshi, mtanashati, mtu makini, mkristo na nina elimu ya chuo kikuu. Nahitaji binti mkristo, mcheshi, mweupe, asiwe mnene, miaka 18-23, kidato cha sita na kuendelea, akiwa mchaga ni added advantage.
<br />
<br />
tutaaminije kama kweli we ni mtanashati? Weka photo.