[emoji23][emoji23] Upo tayari kuwa mke wa pili kikongwe?Umri umenikosesha babe, kila rakheri mkuu
Hahaaa, labda huyo mke mkubwa aondoke kabisaa niwe mwenyewe ππ[emoji23][emoji23] Upo tayari kuwa mke wa pili kikongwe?
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Umri umenikosesha babe, kila rakheri mkuu
Nani huyo mkuu? Sijauona huo uzi π au mods wameshaufuta?Babe wako alikufungulia uzi mbona
Nani huyo mkuu? Sijauona huo uzi π au mods wameshaufuta?
Serious mkuu sijauona kweli, please nitag kama unaweza.acha uongo, hujauona huo uziβ
Serious mkuu sijauona kweli, please nitag kama unaweza.
Aisee, sometimes sipati notifications kabisa aargh,basi tena mpaka uzi umefutwa huenda huyo mtu aliandika maneno yasiofaa πͺBasi utakua umefutwa, Ulitagiwa saaana sanaa, pitia tags zako zote za jana
Aisee, sometimes sipati notifications kabisa aargh,basi tena mpaka uzi umefutwa huenda huyo mtu aliandika maneno yasiofaa πͺ
Mmmmmh Haya ahsante mkuu, ila sijapenda hata kidogo Bora huo uzi ulifutwa tuu, afu hayo ni maneno ya kwenye Biblia kitabu cha "Wimbo ulio bora no 4" hivi ni nani huyo lakini?π¬π¬
Mmmmmh Haya ahsante mkuu, ila sijapenda hata kidogo Bora huo uzi ulifutwa tuu, afu hayo ni maneno ya kwenye Biblia kitabu cha "Wimbo ulio bora no 4" hivi ni nani huyo lakini?π¬π¬
Noo silingani na hayo maneno kabisa, sijapendasawaa, alikusifia kwa kufananisha hivoo, ila Hongera bibie
Unanizibia rizki mkuu wewe, sijapata badooo TychobAna mtu tayari
Muongo huyoo njoo firstborn π
Muongo huyoo njoo firstborn π