mimi CEO bank fulani (sitaki kutoa details)
nina mtoto mmoja , Sitegemei mtu yeyeto (financially )
Nina nyumba tatu, Ninayoishi ipo maeneyo ya beach.
kwa bahati mbaya sipendelei magari ya Japan
only European & German cars, sipendi Gold kabisa sababu ya rangi
yangu ya ngozi, only diamond. do you still want my Email?
...
nipo serious, nimesema kile ambacho ndicho kipo moyoni mwangu. Sitaki nimpokee mtoto wa mwenzangu kwa shingo upande.
Sitanii hata kidogo, nipo serious nahitaji mchumba.
awe mrembo/mzuri wa sura umbo tabia.
asiwe na zaidi ya miaka 28.
awe anajua kusoma na kuandika.
mrefu mweupe au maji ya kunde.
asiwe amewahi kuzaa.
awe anafanya kazi zake au za kuajiliwa.
Mimi ni mtanashati.
mrefu mweusi
ninafanya kazi kipato cha kati.
Nina mtoto.
Mwanamke mwenye sifa hizo awasiliane nami haraka. PM au hapa jfmura52@yahoo.com
Sitanii hata kidogo, nipo serious nahitaji mchumba.
awe mrembo/mzuri wa sura umbo tabia.
asiwe na zaidi ya miaka 28.
awe anajua kusoma na kuandika.
mrefu mweupe au maji ya kunde.
asiwe amewahi kuzaa.
awe anafanya kazi zake au za kuajiliwa.
Mimi ni mtanashati.
mrefu mweusi
ninafanya kazi kipato cha kati.
Nina mtoto.
Mwanamke mwenye sifa hizo awasiliane nami haraka. PM au hapa jfmura52@yahoo.com