Amwit52
Member
- Dec 18, 2011
- 59
- 7
Sitanii hata kidogo, nipo serious nahitaji mchumba.
awe mrembo/mzuri wa sura umbo tabia.
asiwe na zaidi ya miaka 28.
awe anajua kusoma na kuandika.
mrefu mweupe au maji ya kunde.
asiwe amewahi kuzaa.
awe anafanya kazi zake au za kuajiliwa.
Mimi ni mtanashati.
mrefu mweusi
ninafanya kazi kipato cha kati.
Nina mtoto.
Mwanamke mwenye sifa hizo awasiliane nami haraka. PM au hapa jfmura52@yahoo.com
awe mrembo/mzuri wa sura umbo tabia.
asiwe na zaidi ya miaka 28.
awe anajua kusoma na kuandika.
mrefu mweupe au maji ya kunde.
asiwe amewahi kuzaa.
awe anafanya kazi zake au za kuajiliwa.
Mimi ni mtanashati.
mrefu mweusi
ninafanya kazi kipato cha kati.
Nina mtoto.
Mwanamke mwenye sifa hizo awasiliane nami haraka. PM au hapa jfmura52@yahoo.com