nokaheistfx
Member
- Jan 10, 2023
- 13
- 4
Nina miaka 28, nimemaliza advanced level, nina urefu(5' 3''), nina mwili wa kawaida, rangi yangu ni mweusi kidogo (sijui ndo maji kunde), nimejiajiri (-).
MWANAMKE
1. Urefu anizidi kidogo (5' 4'' hadi 5'7'').
2. Elimu awenayo yoyote, pia ajawe na hofu ya Mungu, awe Mkristo.
3. Awe na status yoyote katika ajira, asiwe Mchaga au Mpare.
4. Asiwe mweusi sana au mweupe sana, awe wa kawaida, awe na tako la kuvalia suruali (awe na curved shape, umbo la kibantu), asiwe na kalio la kajala.
5. Awe na umri kuanzia 18 mpaka 24.
Akuje kwa PM na email.
MWANAMKE
1. Urefu anizidi kidogo (5' 4'' hadi 5'7'').
2. Elimu awenayo yoyote, pia ajawe na hofu ya Mungu, awe Mkristo.
3. Awe na status yoyote katika ajira, asiwe Mchaga au Mpare.
4. Asiwe mweusi sana au mweupe sana, awe wa kawaida, awe na tako la kuvalia suruali (awe na curved shape, umbo la kibantu), asiwe na kalio la kajala.
5. Awe na umri kuanzia 18 mpaka 24.
MIMI NIPO DAR-ES-SALAAM<<
Akuje kwa PM na email.