Tamati
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,085
- 1,960
Wale wa kibaha nadhani mnajua kila jumamosi ni siku ya kula nyama choma hapa machinjioni.
Nahitaji mdada aje muda huu hapa machinjioni tuke tule nyama, tupige story kadhaa, na tufurahi pamoja.
Akiwa wa umri wa 20-30 itapendeza zaidi.
Nafasi ni 1, karibu sana mdada utakayowahi hii fursa ya leo.
Nahitaji mdada aje muda huu hapa machinjioni tuke tule nyama, tupige story kadhaa, na tufurahi pamoja.
Akiwa wa umri wa 20-30 itapendeza zaidi.
Nafasi ni 1, karibu sana mdada utakayowahi hii fursa ya leo.