Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 648
- 418
Kama kuna mtu anauza meza ya ndani kwa bei za kwetu walalahoi basi anijulishe hapa nahitaji.....nipo Dar Tabata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nakuomba ujiunge nasi ktk Whatssap group la Biashara na wajasiriamali utapata unachotaka nakujifunza mengi plizKama kuna mtu anauza meza ya ndani kwa bei za kwetu walalahoi basi anijulishe hapa nahitaji.....nipo Dar Tabata.