mtumwa wa mungu
Member
- Dec 27, 2014
- 38
- 3
hahaha! hilo dume hilo sio mdadaPole sana Dada. Kwani ulikuwa kwenye siku hatari?
Sory me wakiume. Na ndio alikuwaPole sana Dada. Kwani ulikuwa kwenye siku hatari?
hahaha! hilo dume hilo sio mdada
Pia nimpenz wangukule MMU umesema ni binti wa form five... naanza kuhisi ni stori ya kutunga hii
kule MMU umesema ni binti wa form five... naanza kuhisi ni stori ya kutunga hii
Ila na wewe mtoa mada hujielezei vizur mmefanya lini na umeshapita mda gan nakama mlijua yupo siku hatar kwann msingevumilia tu jaman
Morning after pill shilingi ngapYaan wengine tunazitafuta izo mimba wengine mnatafuta njia ya kuzuia. Nenda pharmacy waelezee utasaidiwa au kituo chochote cha afya karibu nawe