mtumwa wa mungu
Member
- Dec 27, 2014
- 38
- 3
Doctor nisaidie nime fanya mapenz na mpenz wangu kwa bahati mbaya kondom ime chanika na nilikuwa tayar nime mwaga ndani naitaji njia yoyote ile kuzuiya mimba kukua yani isi tunge kwani hatupo tayari kwa mtoto naw asante matusi si hitaji