- Thread starter
- #201
Mrembo by Nature..
Mburi yezue matundu.... haha. Bila matundu tehena mjadala... teeeh
Pareism
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrembo by Nature..
Mburi yezue matundu.... haha. Bila matundu tehena mjadala... teeeh
Pareism
Mrembo by Nature..
Mburi yezue matundu.... haha. Bila matundu tehena mjadala... teeeh
haya niambie pazia linagongwaje maana hakuna mlango hapo...yani nigonge pazia? must be crazy
umenionea Mrembo by Nature huku ndani?
ha ha ha ha... mkuu Kaizer nipo kwenye utaratibu wakumtumia figganigga kama mdhamini wa mjadala hapa na ninaamini kwa uwepo wa Mrembo by Nature hata kataa! sasa wewe unavyomuulizia unataka kunifukuzia mdhamini..
hahahaa!!husbnd kampiga
mkwara Sandeni wa watu lol!!
​sijambo shkamooo Sandeni!!nipo..hujambo?
Ndo naangalia miandiko yao hapa si migeni machoni kwangu, nahisi nshawahi kutana na sura hizi kwenye server za JF
huyo @Sndeni mwenyewe mbavu hana, bahasha zetu hadi muda huu hajalipa ......hafai kabisa
sijakuelewa mkuu! mkeo kapenda kutoa kampani hapa ye mwenyewe, na hakuna wakumgusa..mke wa mtu sumu inakujaje hapa tena? Passion Lady kuna mtu aliyekudisturb hapa? au Ni vitisho vya jamaa tu?
Umeelewa lakini? maudhui ni kukufanya wewe uelewe!
umeona eee
wamepita njia za panya
mpaka wamefika huku!!
​sijambo shkamooo Sandeni!!
Mburi yesirezua hai ombe, kwani nizie aha kushangaa lami? hela nihundukaze kula wanga majigweni hetu
njia za panya mi na nani? wewe nani alikukagua?
Pareism..
we figganigga unaitwaniitie figganigga! amtulize mrembo wake..hapa..au kashaenda uwanja mkubwa? nasikia leo kuna timu kubwa zinacheza..
Nipo nimejaa tele, mtoto wa kipare a.k.a kipalestina .... manoah alikuwa amenibana na shopping yetu ya dubai .......sorry .una swali?
ooh! Mrembo by Nature zimekupendeza sana, leo jino twende kule zoom ya