Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

eeh! hatufanyi kitu ila tutafanya vitu bora cha kwanza tupitie pale sehemu kupata upako kabla ili kuepuka mbinu chafu za serikali

Whaaaaaaooooooohhh ndio umetokelezea hivi? jaman na unavyonukia sasa mie hoiiiii, eti lakini si hatufanyi chochote eehh??
 
eeh! hatufanyi kitu ila tutafanya vitu bora cha kwanza tupitie pale sehemu kupata upako kabla ili kuepuka mbinu chafu za serikali

hamfanyi chochote! safi sana..kumbe wewe ni wakutoka nae tu, wakumfanya ni wengine? usikubali mkuu..
 
hayo mengine ni ya ndani hatuwezi kuya expose hapa , kuna wadaku kama Baba V na wa type ya huyo mdingi

hamfanyi chochote! safi sana..kumbe wewe ni wakutoka nae tu, wakumfanya ni wengine? usikubali mkuu..
 
Last edited by a moderator:
hayo mengine ni ya ndani hatuwezi kuya expose hapa , kuna wadaku kama Baba V na wa type ya huyo mdingi

mbona mrembo wako ame expose? kwamba hamfanyi..au ni utani tu
 
Last edited by a moderator:
si uanjua tena yeye ameuliza ila hajasema .... ujue j.mosi na j.pili sio siku ya kufanya. Siku ya kufanya ni J.3 , J.4 , J.5 mida ya asubuhi na mchana

mbona mrembo wako ame expose? kwamba hamfanyi..au ni utani tu
 
eeh! hatufanyi kitu ila tutafanya vitu bora cha kwanza tupitie pale sehemu kupata upako kabla ili kuepuka mbinu chafu za serikali

Basi sawa my dia, tutatoka alafu nitatoa msimamo wangu nitakaporudi, kwa sasa sina tamko lolote, mwenye subira asubiri CC Sandeni na figganigga
 
Last edited by a moderator:
si uanjua tena yeye ameuliza ila hajasema .... ujue j.mosi na j.pili sio siku ya kufanya. Siku ya kufanya ni J.3 , J.4 , J.5 mida ya asubuhi na mchana

ha ha ha ha..we mkali kuliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…