Nahitaji mke awe Daktari wa tiba au awe na PhD. umri wake uwe kuanzia miaka 28-39 mweupe au maji ya kunde mrefu asiwe mfupi. umri wangu ni 38, ni mweupe. ambaye atakuwa interested aniandikie private message.
PS. tuwe wastaarabu kwenye kujibu ambaye sio mhusika asi comment tafadhali
PS. tuwe wastaarabu kwenye kujibu ambaye sio mhusika asi comment tafadhali