Nahitaji mke ambaye ni Daktari au awe na Ph.D

Nahitaji mke ambaye ni Daktari au awe na Ph.D

Nahitaji mke awe Daktari wa tiba au awe na PhD. umri wake uwe kuanzia miaka 28-39 mweupe au maji ya kunde mrefu asiwe mfupi. umri wangu ni 38, ni mweupe. ambaye atakuwa interested aniandikie private message.

PS. tuwe wastaarabu kwenye kujibu ambaye sio mhusika asi comment tafadhali
Huna nia ya kutafuta mke mkuu, phD kweliii? Karne hii hii au unatafuta wa karne zilipendwa? Anyways goodluck cz u need it

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji mke awe Daktari wa tiba au awe na PhD. umri wake uwe kuanzia miaka 28-39 mweupe au maji ya kunde mrefu asiwe mfupi. umri wangu ni 38, ni mweupe. ambaye atakuwa interested aniandikie private message.

PS. tuwe wastaarabu kwenye kujibu ambaye sio mhusika asi comment tafadhali
Wazee wa kupenda miteremko

Kumbuka kasomeshwa na baba yake ama na Kijiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mnataka kufungua College of Law in Business Mnagement with Education, Health and Allied Sciences?
 
Back
Top Bottom