Nahitaji mke, awe na umri wa miaka 18-32

Nahitaji mke, awe na umri wa miaka 18-32

muu00

Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
16
Reaction score
11
Habari zenu wana JamiiForums nahitaji mke alie na utulivu wa nafsi na siyo mwenye tamaa. Awe MUSLIM na pia awe bado hajazaa, umri awe 18-32.

Awe mweusi au mweupe, pia awe na umbo zuri (shape). Mimi ni mweupe, mrefu kiasi, umri wangu 33, ni mfanya biashara.

Kama upo serious karibu PM au ni email muqrim01@gmail.com asante
 
Habari zenu wana JamiiForums naitaji mke alie na utulivu wa nafsi nasio mwenye tamaa awe MUSLIM na pia awe bado hajazaa umri awe 18-32

Awe mweusi au mweupe pia awe na ubo zuri (shape) mimi ni mweupe mrefu kiasi na umri wangu 33 ni mfanya biashara.

Kama upo serious karibu PM au ni email muqrim01@gmail.com asante
Ushauri
Hao wa 18-23 watakupasua, bado hawajaona mengi
 
Dini imenikosesha mume[emoji19]
Tutayajenga usijali huo mtindi umenipa hamasa[emoji39]
JamiiForums-886683627.jpg
 
Back
Top Bottom