Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi natafuta mwenye manido kama hayoTutayajenga usijali huo mtindi umenipa hamasa[emoji39]View attachment 2390865
Mapacha Tena!!..huko ni kuweka jero ule 29m kwenye kubetWakitokea mapacha je mara 2 si wanatosha? Ila hata hao mmoja mmoja wanaweza achana gap la miaka miwili na ukafanikiwa fresh
Punguzeni ulafi na uzembe,kula hovyo mazoezi hakuna,kwenye sofa kutwa na rimotiHamna mume hapo.
Hivyo vigezo vya shepu, inaonyesha akija kuzaa akatutumka na ndoa ndo imeishia hapo, au akapatwa na changamoto itakayo mpelekea kuharibika shepu. Mambo ndo mwishnei.
We kiazi unafikiri Kila mtu mzembe na mlafi kama wewe..... Unaongea utadhani unamjua mtu.... Em kakojoe ulale ukoPunguzeni ulafi na uzembe,kula hovyo mazoezi hakuna,kwenye sofa kutwa na rimoti
Ndivyo mlivyo wanawake wengi,mnapenda vitamtam na ubwanyenye,unakua na shepu Kama kiazi kitamu!We kiazi unafikiri Kila mtu mzembe na mlafi kama wewe..... Unaongea utadhani unamjua mtu.... Em kakojoe ulale uko
Nimepata pachaNa mimi natafuta mwenye manido kama hayo
Hilo ndio sharti langu haijalishi umri, dini wala sura
Mtindi tu niyatumie kama pillow
Nipo hapa nataka sifa kama hizo kasoro shape tuDah Shape imenikosesha mume[emoji23]
Niko pamoja na wewe @inamnakusweke alafu kuoa mwanamke unae mtaka kwa sifa zako kwani dhambi hapana hayo mengine ya ajar shida za hapa na pale zipo tu ila kwakuanzia lazima niwe na mwanamke moyo na macho vitafurahi asitufosi 🤣Punguzeni ulafi na uzembe,kula hovyo mazoezi hakuna,kwenye sofa kutwa na rimoti
[emoji3][emoji3][emoji3]Nimepata pacha