Nahitaji mke, awe tayari na ndoa

Nahitaji mke, awe tayari na ndoa

Joined
May 23, 2022
Posts
5
Reaction score
3
Kwema? Nina uhitaji wa kupata mke wa kufanya nae maisha, nahitaji awe na sifa zifuatazo.

1.Asizidi miaka 30
2.Awe na uelewa muhimu wa maisha.
3.Napenda awe na muonekano mzuri, japo ni jambo la ziada.

Tuwasiliane kwa PM kwa ajili ya kufahamiana zaidi.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom