DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Salam, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ninahitaji mke/mchumba alie siriazi na mahusiano.
Sifa zangu.
Mimi ni mkristo dhehebu la KKKT.
Nina watoto 4 kila mmoja na mama yake.
Nina kazi ya kuajiriwa na serikali.
Nina urefu wa futi sita, ni mweusi na nina mwili kiasi.
Sifa za ninaye mhitaji.
Rangi yeyote.
Awe mkristo.
Urefu wowote ila isiwe chini ya futi tano na nusu.
Umri uwe kuanzia miaka 18 hadi 26.
Awe na mtoto au asiye na mtoto.
Awe siriazi na maisha(asiwe na akili za kitoto).
Mengine karibu pm.
Karibu tujenge maisha.
Sifa zangu.
Mimi ni mkristo dhehebu la KKKT.
Nina watoto 4 kila mmoja na mama yake.
Nina kazi ya kuajiriwa na serikali.
Nina urefu wa futi sita, ni mweusi na nina mwili kiasi.
Sifa za ninaye mhitaji.
Rangi yeyote.
Awe mkristo.
Urefu wowote ila isiwe chini ya futi tano na nusu.
Umri uwe kuanzia miaka 18 hadi 26.
Awe na mtoto au asiye na mtoto.
Awe siriazi na maisha(asiwe na akili za kitoto).
Mengine karibu pm.
Karibu tujenge maisha.