Nahitaji mke/ mchumba anaehitaji kuishi katika ndoa ya ukristo

Nahitaji mke/ mchumba anaehitaji kuishi katika ndoa ya ukristo

Kwanin usiwaludishe mama zao walee wenyewe [emoji354]mda unakwenda mzee
Mpaka sasa wapo kwa mama zao, ila wakikua nadhani watakuwa wanakuja na kuondoka au tunaweza kukaa nao na kuwalea wenyewe tu mkuu.
 
Huna utulivu naye utambwaga tu kama hao wanne teua mmoja kati yao alee watoto wewe ni muharibifu wanawake wote wanafanana mkuu
 
Huna utulivu naye utambwaga tu kama hao wanne teua mmoja kati yao alee watoto wewe ni muharibifu wanawake wote wanafanana mkuu
Utulivu ninao, na sijawahi kuishi nao, maisha ya ujana ni maji ya moto.
Nataka kutulia na mmoja ambae sio mmoja wa walio zaa maana tayari wameolewa.
 
Pole sana ahaaa nani yupo tiyari kwa maumivu hayo? Watoto wanne kila mmoja na mama yake? Ukienda kumwona mwanao unapasha kiporo kwa wanawake wanne? Ahaaa anyway. Ukimpata tujuze
 
Ukifikisha watoto 8 kila mtu na mama yake tayar ushavunja rekodi endelea kupambana
 
Pole sana ahaaa nani yupo tiyari kwa maumivu hayo? Watoto wanne kila mmoja na mama yake? Ukienda kumwona mwanao unapasha kiporo kwa wanawake wanne? Ahaaa anyway. Ukimpata tujuze
Kumuona mtoto hakutakuwepo kama tutaishi nao.
 
Kumbe Uzi umehamishiwa love connect.
 
Salam, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ninahitaji mke/mchumba alie siriazi na mahusiano.

Sifa zangu.
Mimi ni mkristo dhehebu la KKKT.
Nina watoto 4 kila mmoja na mama yake.
Nina kazi ya kuajiriwa na serikali.
Nina urefu wa futi sita, ni mweusi na nina mwili kiasi.

Sifa za ninaye mhitaji.
Rangi yeyote.
Awe mkristo.
Urefu wowote ila isiwe chini ya futi tano na nusu.
Umri uwe kuanzia miaka 18 hadi 26.
Awe na mtoto au asiye na mtoto.
Awe siriazi na maisha(asiwe na akili za kitoto).

Mengine karibu pm.

Karibu tujenge maisha.
Duuu! Watoto wanne kila mtoto na Mama yake!
 
Back
Top Bottom