Sawa mkuu hongera wasubiri wanakuja watakaoweza kuwalea hao watoto 4Shunieeeeee, maisha changamoto hasa ukikutana na binti wa kijijini akaja mjini.
Sasa we jamaa watoto wanne bado unataka kuoaNinahitaji wa kuishi naye sasa.
Huyo atakayekuja kulea hao watoto wa4 ana kipaji tosha hapana aisee kila mtu na kipaji chakeNimekunja na 4 kabisa, ninasubiri.
Kila la heriKila mtu na mahitaji yake.
Na usicho kipenda wewe wengine wanakipenda, usicho weza kuvumilia wengine wanaweza.