Nahitaji mke/ mchumba anaehitaji kuishi katika ndoa ya ukristo

Kwanin usiwaludishe mama zao walee wenyewe [emoji354]mda unakwenda mzee
Mpaka sasa wapo kwa mama zao, ila wakikua nadhani watakuwa wanakuja na kuondoka au tunaweza kukaa nao na kuwalea wenyewe tu mkuu.
 
Huna utulivu naye utambwaga tu kama hao wanne teua mmoja kati yao alee watoto wewe ni muharibifu wanawake wote wanafanana mkuu
 
Huna utulivu naye utambwaga tu kama hao wanne teua mmoja kati yao alee watoto wewe ni muharibifu wanawake wote wanafanana mkuu
Utulivu ninao, na sijawahi kuishi nao, maisha ya ujana ni maji ya moto.
Nataka kutulia na mmoja ambae sio mmoja wa walio zaa maana tayari wameolewa.
 
Pole sana ahaaa nani yupo tiyari kwa maumivu hayo? Watoto wanne kila mmoja na mama yake? Ukienda kumwona mwanao unapasha kiporo kwa wanawake wanne? Ahaaa anyway. Ukimpata tujuze
 
Ukifikisha watoto 8 kila mtu na mama yake tayar ushavunja rekodi endelea kupambana
 
Pole sana ahaaa nani yupo tiyari kwa maumivu hayo? Watoto wanne kila mmoja na mama yake? Ukienda kumwona mwanao unapasha kiporo kwa wanawake wanne? Ahaaa anyway. Ukimpata tujuze
Kumuona mtoto hakutakuwepo kama tutaishi nao.
 
Kumbe Uzi umehamishiwa love connect.
 
Duuu! Watoto wanne kila mtoto na Mama yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…