Engineer25
Member
- Dec 5, 2022
- 5
- 7
Mimi nataka muhindi na hapo Kama umekosa hicho kigezo basi tenaKutokuwa mpemba kumenikosesha mume[emoji3][emoji3]
😀😀😀Hadi hapa nitakufa singleMimi nataka muhindi na hapo Kama umekosa hicho kigezo basi tena
MHKabila lako?
sina mwenyejiNenda Pemba mkoani maeneo ya kiwani utawapata kibao.Ukikosa nenda Mkanjuni,Huko ukikosa nenda Konde utapata Hadi walio bikra.
Umri wangu: 31
Kuishi: Dar es Salaam
Kazi: Engineer mgodini
Dini: Muislam, nimehifadhi juzuu 1, nasoma quran, pia swala 5.
Sifa za Mke
Umri: 18-25
Color: Chocolate au mweupe
Lugha: Awe mwenye rafudhi ya kipemba haswa, mana ndo ugonjwa wangu huo[emoji3]..
Shape: Asiwe mnene
Karibu PM
Kaka mjumbe unataka muhindi njoo upanga huku🤣🤣🤣Mimi nataka muhindi na hapo Kama umekosa hicho kigezo basi tena
Eeh ile rafudhi ya watoto wakike,ue nayo chumban balaa sheikh,Duniani kuna magonjwa mengi,lafudhi ya kipemba pia ni ugonjwa
Wapemba washaanza sasa kaka🤣🤣🤣🤣Kabila lako🤣🤣🤣🤣????Kabila lako?
Njoo kwangu "baba sichagui sibagui" 😂Kutokuwa mpemba kumenikosesha mume😀😀
Anataka Mpemba wakati yeye ni Mmakonde Chale🤣🤣Wapemba washaanza sasa kaka🤣🤣🤣🤣Kabila lako🤣🤣🤣🤣????
Wapemba nawajua kaka ndio maana nikampa ushauri wa njia ya mkato hapo juuAnataka Mpemba wakati yeye ni Mmakonde Chale🤣🤣
😂😂Kalee kachanga huko😂😂Njoo kwangu "baba sichagui sibagui" 😂