Mtanzania Mnyonge22
Senior Member
- Sep 2, 2022
- 125
- 455
Wapemba wanataka japo mzazi wako mmoja awe ana root Pemba, Unguja au Tanga🤣🤣 ila wapo wanaume wachache wa Bara ambao wameoa WapembaWapemba nawajua kaka ndio maana nikampa ushauri wa njia ya mkato hapo juu
Unairuka elfu 10 iliyoangushwa kariakoo ujue, ni sawa na kupiga teke fuko la hela, 😂🤣😂😂Kalee kachanga huko😂😂
😂😂Mama mdogo oyee na navopenda watoto Sasa 😂😂Unairuka elfu 10 iliyoangushwa kariakoo ujue, ni sawa na kupiga teke fuko la hela, 😂🤣
Ulezi unaendelea, tena atakuwa kapata mama mdogo.
😀Una Juzuu Na SurrAt~Zubaa
Sasa je.. Imepita hiyo we unakuwa nambari 2.😂😂Mama mdogo oyee na navopenda watoto Sasa 😂😂
Imeisha hiyo, lini tuje kuleta posa?😂😂Mama mdogo oyee na navopenda watoto Sasa 😂😂
😀😀Muda wowote ni chai na maandazi tu imeisha hiyoImeisha hiyo, lini tuje kuleta posa?
Mambo yasiwe meengi, watu wachache tu..😀😀Muda wowote ni chai na maandazi tu imeisha hiyo
Ushaambiwa humu wamejaa wa k/koonenda Konde
Wapemba wanataka japo mzazi wako mmoja awe ana root Pemba, Unguja au Tanga🤣🤣 ila wapo wanaume wachache wa Bara ambao wameoa Wapemba
Muislam asiekua na hela hapewi Mke?😬Kama hela ipo unaoa pemba bila shida.
Muhimu uwe muislam tu
Jitahidi zifike japo juzuu 20 ndo tukupe dada yetu wa kipemba.Dini: Muislam, nimehifadhi juzuu 1
Muislam asiekua na hela hapewi Mke?😬
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa nn ufe single c unakuja tuishi pamoja kila mtu akisumiria chaguo lake[emoji3][emoji3][emoji3]Hadi hapa nitakufa single
Kwamba ukipata muhindi wakt mm Ninamiak 50 ndo kuachwa uzeen 😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa nn ufe single c unakuja tuishi pamoja kila mtu akisumiria chaguo lake
Nahusikaje hapa
Mkuu kama hana mwenyeji wa kumdhamini Pemba si rahisi wakupe mke kihivyo, kama ni mtu wa bara bado huna tofauti sana na wakristu kwa utakavyochukuliwa. Kuna options 2. One nenda Pemba kaa hata week 2 hudhuria ibada wazee wakuone , tengeneza connection na hao wazee watakusaidia. Two: Tumia connection na wapemba walioko bars.Nenda Pemba mkoani maeneo ya kiwani utawapata kibao.Ukikosa nenda Mkanjuni,Huko ukikosa nenda Konde utapata Hadi walio bikra.