Nahitaji mke mpemba

😂😂Kalee kachanga huko😂😂
Unairuka elfu 10 iliyoangushwa kariakoo ujue, ni sawa na kupiga teke fuko la hela, 😂🤣

Ulezi unaendelea, tena atakuwa kapata mama mdogo.
 
😀😀Muda wowote ni chai na maandazi tu imeisha hiyo
Mambo yasiwe meengi, watu wachache tu..
Uje unipe mlolonho mzima, mahari na vinginevyo. Bila kusahau location, majina etc
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa nn ufe single c unakuja tuishi pamoja kila mtu akisumiria chaguo lake
Kwamba ukipata muhindi wakt mm Ninamiak 50 ndo kuachwa uzeen 😂😂😂
 
Nenda Pemba mkoani maeneo ya kiwani utawapata kibao.Ukikosa nenda Mkanjuni,Huko ukikosa nenda Konde utapata Hadi walio bikra.
Mkuu kama hana mwenyeji wa kumdhamini Pemba si rahisi wakupe mke kihivyo, kama ni mtu wa bara bado huna tofauti sana na wakristu kwa utakavyochukuliwa. Kuna options 2. One nenda Pemba kaa hata week 2 hudhuria ibada wazee wakuone , tengeneza connection na hao wazee watakusaidia. Two: Tumia connection na wapemba walioko bars.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…