Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Haya kawahi fursa hio, sema inaonekana kazi zinakuzidia ehh??Nililala 21:00
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kawahi fursa hio, sema inaonekana kazi zinakuzidia ehh??Nililala 21:00
Mkuu yupo wa unguja nkuunge nae mtoto anajielewa san ndugu ,Umri wangu: 31
Kuishi: Dar es Salaam
Kazi: Engineer mgodini
Dini: Muislam, nimehifadhi juzuu 1, nasoma quran, pia swala 5.
Sifa za Mke
Umri: 18-25
Color: Chocolate au mweupe
Lugha: Awe mwenye rafudhi ya kipemba haswa, mana ndo ugonjwa wangu huo[emoji3]..
Shape: Asiwe mnene
Karibu PM
Nicheki wenye email yangu kakaKama una connection nipatea mkuu
Lazima tujue kabila lako ndiyo tukupe mwenetu. Usije pikiwa pweza na chaza ukakimbia nyumbani.Umri wangu: 31
Kuishi: Dar es Salaam
Kazi: Engineer mgodini
Dini: Muislam, nimehifadhi juzuu 1, nasoma quran, pia swala 5.
Sifa za Mke
Umri: 18-25
Color: Chocolate au mweupe
Lugha: Awe mwenye rafudhi ya kipemba haswa, mana ndo ugonjwa wangu huo[emoji3]..
Shape: Asiwe mnene
Karibu PM
Tupo tun'jaa tele kama pishi ya mcheleHivi wapemba wamo humu JF...?
Umri wangu: 31
Kuishi: Dar es Salaam
Kazi: Engineer mgodini
Dini: Muislam, nimehifadhi juzuu 1, nasoma quran, pia swala 5.
Sifa za Mke
Umri: 18-25
Color: Chocolate au mweupe
Lugha: Awe mwenye rafudhi ya kipemba haswa, mana ndo ugonjwa wangu huo[emoji3]..
Shape: Asiwe mnene
Karibu PM
Huu ugonjwa uliupataja wakati hujaoa huku ukisema ni mzee wa juzuu?Umri wangu: 31
Kuishi: Dar es Salaam
Kazi: Engineer mgodini
Dini: Muislam, nimehifadhi juzuu 1, nasoma quran, pia swala 5.
Sifa za Mke
Umri: 18-25
Color: Chocolate au mweupe
Lugha: Awe mwenye rafudhi ya kipemba haswa, mana ndo ugonjwa wangu huo[emoji3]..
Shape: Asiwe mnene
Karibu PM
Kam sifa zngne unazo jifunze rafudh madam, ugonjwa wake rafudh kasema[emoji3][emoji2]Kutokuwa mpemba kumenikosesha mume[emoji3][emoji3]
Nitaenda kukaa Pemba Kwa muda nipate rafudhi ya kipemba😀😀Kam sifa zngne unazo jifunze rafudh madam, ugonjwa wake rafudh kasema[emoji3][emoji2]
HakikaNenda Pemba mkoani maeneo ya kiwani utawapata kibao.Ukikosa nenda Mkanjuni,Huko ukikosa nenda Konde utapata Hadi walio bikra.
Kwan wanafanywaga nin?Mpemba? Unataka umfanye nn?
hayo maeneo yote umetaja umangani...Nenda Pemba mkoani maeneo ya kiwani utawapata kibao.Ukikosa nenda Mkanjuni,Huko ukikosa nenda Konde utapata Hadi walio bikra.
Tushajua unacjotaka pewa n'a mtoto wa watuUmri wangu: 31
Kuishi: Dar es Salaam
Kazi: Engineer mgodini
Dini: Muislam, nimehifadhi juzuu 1, nasoma quran, pia swala 5.
Sifa za Mke
Umri: 18-25
Color: Chocolate au mweupe
Lugha: Awe mwenye rafudhi ya kipemba haswa, mana ndo ugonjwa wangu huo[emoji3]..
Shape: Asiwe mnene
Karibu PM