Baron Digo
Member
- May 9, 2015
- 40
- 35
[emoji1431]
ID yako tuu ishamaliza uzi. Huu uzi ufungwe ushapatikanaAaah wapi
Wkipatikana wawili mnoja nipasie mm kwa mp mkuuMimi ni mwanaume wa miaka 40 na nina watoto 3. Ni mwajiriwa na mfanyabiashara. Nahitaji mke wa kufunga naye ndoa mwenye sifa zifuatazo:
1. Mcha Mungu kweli wa dini yoyote
2. Asiwe mwajiriwa au awe ameajiriwa/amejiajiri sekta isiyo rasmi
3. Umri miaka 25-35
4. Mweusi mwenye umbo la kibantu ila si kibonge
5. Awe na mtoto si zaidi ya mmoja au asiwe na mtoto
Kwa mwenye sifa hizo tuwasiliane kwa email: r.dimelo@outlook.com
Me sitakiID yako tuu ishamaliza uzi. Huu uzi ufungwe ushapatikana
Bado hujapata??
BadooBado hujapata??
Watoto 3 wana mama zao chukua mmojaBadoo
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo wewe umeingia na magoli matatu, Ila huyo mke aingie na goli moja au bila goli?
Kua na huruma mkuu. Raha ya mechi ianze mkiwa sawa
Kama uko interested nitafute privately utapata ufafanuziWatoto 3 wana mama zao chukua mmoja