Baron Digo
Member
- May 9, 2015
- 40
- 35
Mimi ni mwanaume wa miaka 40 na nina watoto 3. Ni mwajiriwa na mfanyabiashara. Nahitaji mke wa kufunga naye ndoa mwenye sifa zifuatazo:
1. Mcha Mungu kweli wa dini yoyote
2. Asiwe mwajiriwa au awe ameajiriwa/amejiajiri sekta isiyo rasmi
3. Umri miaka 25-35
4. Mweusi mwenye umbo la kibantu ila si kibonge
5. Awe na mtoto si zaidi ya mmoja au asiwe na mtoto
Kwa mwenye sifa hizo tuwasiliane kwa email: r.dimelo@outlook.com
1. Mcha Mungu kweli wa dini yoyote
2. Asiwe mwajiriwa au awe ameajiriwa/amejiajiri sekta isiyo rasmi
3. Umri miaka 25-35
4. Mweusi mwenye umbo la kibantu ila si kibonge
5. Awe na mtoto si zaidi ya mmoja au asiwe na mtoto
Kwa mwenye sifa hizo tuwasiliane kwa email: r.dimelo@outlook.com