Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema unatakiamo usitag tu wenzako Jitag nawewe
Umri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Mwambie apunguze masharti. Ye mwenyewe gazeti lishafika saa 10 jioni 😂😂
Mnene ni ngumu sana kumfikiaUmri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Mungu akujalie upate hitaji la moyo wako...Umri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Daah wqnachocha mapema hao waneneUmri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
45 mwanaume gazeti lishafika saa 10, wakati age hii ujana unaisha unakuwa mbabaMwambie apunguze masharti. Ye mwenyewe gazeti lishafika saa 10 jioni [emoji23][emoji23]
😀😀😀😀😀😀😀Sema unatakiamo usitag tu wenzako Jitag nawewe
Hataki mbambambaMwambie apunguze masharti. Ye mwenyewe gazeti lishafika saa 10 jioni 😂😂
45 yrs kwa mwanaume ndio kijana haswaaaaaa, kumbe hujuiMwambie apunguze masharti. Ye mwenyewe gazeti lishafika saa 10 jioni 😂😂
45 mwanaume gazeti lishafika saa 10, wakati age hii ujana unaisha unakuwa mbaba
Mzee 🤣🤣45 yrs kwa mwanaume ndio kijana haswaaaaaa, kumbe hujui
vipi wewe unajiona na kibonge hapo mbeleni?? 😂Hatimaye vibonge wamefikiwa
Hapana aisee vibonge michosho ila wanajua kumganda mwanamume gusa unase 🤣🤣🤣vipi wewe unajiona na kibonge hapo mbeleni?? 😂
Mzee 🤣🤣
Wakati mko mnapeak at 32/33/34/35/36 uwa mnaringaa.
Mkishakuwa wababa wazee wa 40s mnaacha kunyata 😂😂