Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
🤣🤣🤣 Mtoto Hana nidhamuNilikuwa na mama yako kwani ulikuwa hunioni we mtoto vipi acha kulala mapema
Ila Wana Raha yake hawa, kukauka nadra sanaNeema imewafikia vibonge
Wanene aende Mbeya, Rukwa, Katavi, Njombe, Ruvuma n.k mikoa ambayo haina Njaa.Mnene ni ngumu sana kumfikia
Kama anatokea Coast aongeze lishe , kana anaishi kwa urojo atachemkaWanene aende Mbeya, Rukwa, Katavi, Njombe, Ruvuma n.k mikoa ambayo haina Njaa.
Nitampa humuhumu mkuu
Coastal nahisi Mambo ya kula kwa Bajeti huchangia Pakubwa.Kama anatokea Coast aongeze lishe , kana anaishi kwa urojo atachemka
Kila la kheri MkuuNitampa humuhumu mkuu
🤣Coastal nahisi Mambo ya kula kwa Bajeti huchangia kwakubwa.
Unakuta familia mchana wanakunywa Chai, alafu Usiku wanapima mchele robo tatu huku familia ina watu 7 🙌
Mkuu watu wnanen wanakula snaaUmri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Harufu ndo huwa mtihani labda ubahatishe hygiene yake iko vizurIla Wana Raha yake hawa, kukauka nadra sana
Hapa nimejionea hata mimiIla wanaroho za pekee sana Dr.