Sema unatakiamo usitag tu wenzako Jitag nawewe
Umri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Mwambie apunguze masharti. Ye mwenyewe gazeti lishafika saa 10 jioni ππ
Mnene ni ngumu sana kumfikiaUmri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Mungu akujalie upate hitaji la moyo wako...Umri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Daah wqnachocha mapema hao waneneUmri wangu 45, mtumishi wa serikali.
Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
45 mwanaume gazeti lishafika saa 10, wakati age hii ujana unaisha unakuwa mbabaMwambie apunguze masharti. Ye mwenyewe gazeti lishafika saa 10 jioni [emoji23][emoji23]
πππππππSema unatakiamo usitag tu wenzako Jitag nawewe
Hataki mbambambaMwambie apunguze masharti. Ye mwenyewe gazeti lishafika saa 10 jioni ππ
45 yrs kwa mwanaume ndio kijana haswaaaaaa, kumbe hujuiMwambie apunguze masharti. Ye mwenyewe gazeti lishafika saa 10 jioni ππ
45 mwanaume gazeti lishafika saa 10, wakati age hii ujana unaisha unakuwa mbaba
Mzee π€£π€£45 yrs kwa mwanaume ndio kijana haswaaaaaa, kumbe hujui
vipi wewe unajiona na kibonge hapo mbeleni?? πHatimaye vibonge wamefikiwa
Hapana aisee vibonge michosho ila wanajua kumganda mwanamume gusa unase π€£π€£π€£vipi wewe unajiona na kibonge hapo mbeleni?? π
Mzee π€£π€£
Wakati mko mnapeak at 32/33/34/35/36 uwa mnaringaa.
Mkishakuwa wababa wazee wa 40s mnaacha kunyata ππ