Nahitaji mke wa kuoa

Nahitaji mke wa kuoa

JWANY DA KING

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
201
Reaction score
184
Mimi ni kijana wa kitanzania nimeajiliwa nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo
- umri 21- 30
-Muajiliwa
-mkristo
-Asiwe mfupi
-awe white au maji ya kunde
-Asiwe mnene sana au mwembamba sana (size ya kati)
-Mwenye upendo usiojali maslahi hasa pesa.
-Atambue majukumu yake yeye kama mama wa familia.
Kama umekidhi vigezo hvy na uko siriasi pm.
 
Kwenu hakuna wanawake mkuu ,hivi mke siku hizi amekuwa kama vile unataka kucheza Mchezo wa BABA NA MAMA
 
Back
Top Bottom