Mimi ni kijana wa miaka 31 nina shahada mbili, naishi tanga ni mfanyakazi serikalini. Nahitaji mke wa kuoa awe muislam na angalau awe na elimu ya certificate au zaidi. Kama kuna yeyote aliyeko tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.
Mimi ni kijana wa miaka 31 nina shahada mbili, naishi tanga ni mfanyakazi serikalini. Nahitaji mke wa kuoa awe muislam na angalau awe na elimu ya certificate au zaidi. Kama kuna yeyote aliyeko tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.
Mimi ni kijana wa miaka 31 nina shahada mbili, naishi tanga ni mfanyakazi serikalini. Nahitaji mke wa kuoa awe muislam na angalau awe na elimu ya certificate au zaidi. Kama kuna yeyote aliyeko tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.