Nahitaji mke wa kuoa

IBWEIJEWA

Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
24
Reaction score
5
Mimi ni kijana wa miaka 31 nina shahada mbili, naishi tanga ni mfanyakazi serikalini. Nahitaji mke wa kuoa awe muislam na angalau awe na elimu ya certificate au zaidi. Kama kuna yeyote aliyeko tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.
 
Mimi ni kijana wa miaka 31 nina shahada mbili, naishi tanga ni mfanyakazi serikalini. Nahitaji mke wa kuoa awe muislam na angalau awe na elimu ya certificate au zaidi. Kama kuna yeyote aliyeko tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.
 
mtulivu na mchamungu, awe na upendo na watu. zaidi ya yote muelewa
 
Mimi ni kijana wa miaka 31 nina shahada mbili, naishi tanga ni mfanyakazi serikalini. Nahitaji mke wa kuoa awe muislam na angalau awe na elimu ya certificate au zaidi. Kama kuna yeyote aliyeko tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.

hivyo vyote ni havisaidii ,we sema una-Pesa au? kuwa na Shahada au kufanya kazi serikalini havitoshi kutunza mke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…