Mimi ni kijana wa kiume umri ni 24 yrs. wanajamvi.
Ninaitaji mke wa kuoa na kuanza maisha nae.
Sifa
1. Awe yupo Kanda ya Ziwa akiwa Mwanza ni vzur zaidi
2. Sichagui dini wala kabira
3. Elimu angalau form four ila asizidi level ya Master degree
4. Awe mcha Mungu
5. Mjasiliamali atapewa kipaombele
6. Miaka isizidi 25yrs.
7. Single Mothers wanakaribishwa pia, ila awe na mtoto mmoja tu
8. Awe tayari Kupima HIV
9. Rangi yeyote, ila akiwa maji ya kunde itapendeza
10. Asiwe mnene wala mwembamba sana
NB: KUHUSU MM, NI MREFU WASTAN SANA, MAJI YA KUNDE. NI MJASILIAMALI.
KARIBUNI Pm.......
Ninaitaji mke wa kuoa na kuanza maisha nae.
Sifa
1. Awe yupo Kanda ya Ziwa akiwa Mwanza ni vzur zaidi
2. Sichagui dini wala kabira
3. Elimu angalau form four ila asizidi level ya Master degree
4. Awe mcha Mungu
5. Mjasiliamali atapewa kipaombele
6. Miaka isizidi 25yrs.
7. Single Mothers wanakaribishwa pia, ila awe na mtoto mmoja tu
8. Awe tayari Kupima HIV
9. Rangi yeyote, ila akiwa maji ya kunde itapendeza
10. Asiwe mnene wala mwembamba sana
NB: KUHUSU MM, NI MREFU WASTAN SANA, MAJI YA KUNDE. NI MJASILIAMALI.
KARIBUNI Pm.......