Mimiwikolo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 218
- 19
Vizuri kuwa specific mkuumkuu we kiboko.. unachagua had dhehebu..!!!
haahahahhahuu unene unanikosesha mengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo wako vizuri wemwenyewe si unajiona hapo kwenye avator unavyo ng'aa na hiyo rangi yako.hivi kwa nn hampendi wanawake weusi kila anaetafuta mke kigezo cha rangi maji ya kunde au mweupe lazima kiwepo
Ndio upunguze kula sanahuu unene unanikosesha mengi
King'aacho ndio mpango mzima, ndio maana siku hizi KE wanaojichubua au wapaka mkorogo wameongezeka maradufu kutokana na hilohivi kwa nn hampendi wanawake weusi kila anaetafuta mke kigezo cha rangi maji ya kunde au mweupe lazima kiwepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana hujapata mke maana una vigezo vingi utafikiri unachagua faculty ya kusoma chuo
Hawajui joto la papuchi ya mweusihivi kwa nn hampendi wanawake weusi kila anaetafuta mke kigezo cha rangi maji ya kunde au mweupe lazima kiwepo
msitufanyie hivyo na sisi weusi nani atatutaka kama wote mnapenda weupeKing'aacho ndio mpango mzima, ndio maana siku hizi KE wanaojichubua au wapaka mkorogo wameongezeka maradufu kutokana na hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo wako vizuri wemwenyewe si unajiona hapo kwenye avator unavyo ng'aa na hiyo rangi yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio upunguze kula sana
aisee kwahiyo ya mweusi ina joto kumbeHawajui joto la papuchi ya mweusi
Hapana mkuu wanaume wanapenda KE asilia sio midoli wanaijichubua, kwanza kala original ndio nzuri kwa hiyo hao wanaotumia mikorogo sijui wana inferiority ideas kutokana na colour zao but kwa cc wa central zone white colour kwetu ni kawaida kwa hiyo tunavyochukua white KE ni muendelezo wa toka babu zetu but kuna ME pia wanapenda black/ chocolate colour cha muhimu ni usafi na kudumisha uasilia wako na sio kufuata mkumbomsitufanyie hivyo na sisi weusi nani atatutaka kama wote mnapenda weupe