Nahitaji mke

Nahitaji mke

Mimi pia nilitoa tangazo kama hilo ila sikuweka kigezo cha dini wala umr ...mods wakalitoa faster cjajua tatizo hebu mnisaidie
Hahahaa.. Now weka vigezo uone ka wataondoa tena
 
Hi,

Rafiki wa kike anahitajika then aje kuwa mke if God wishes. Am 36, graduate nimeajiriwa serikalini, niko Dar. Uwe atleast na diploma, mwenye ajira.

Uwe Mkristo (Protestant/Pentecost). Umri 26 - 31, usiwe na mtoto. Uwe mweupe/maji ya kunde na sio mnene, vizuri uwe mwembamba.

Karibu ni PM
Sifa ninazo ila nahitaji sports man.. Sio mtu legelege..
 
Hi,

Rafiki wa kike anahitajika then aje kuwa mke if God wishes. Am 36, graduate nimeajiriwa serikalini, niko Dar. Uwe atleast na diploma, mwenye ajira.

Uwe Mkristo (Protestant/Pentecost). Umri 26 - 31, usiwe na mtoto. Uwe mweupe/maji ya kunde na sio mnene, vizuri uwe mwembamba.

Karibu ni PM
Karibu Sana ila sali Sana I'll mungu akuonyeshe mwanamke super material
 
Mkuu
Futa pumzi kisha sema natafuta mwanamke wa kuoa sio kutoa masharti kama hayo eti mweupe na msomi angalau diploma je ukimapata huyo halafu unae mtaka halafu mkawa hamna masikizano ndani ya Nyumba yenu inakuaje
Mimi naona ni bora usemi nahitaji mwanamke Mwenye kujua Maisha yaani u
Kupata na kukosa akubali kuishi kokote na kula chochote
 
Back
Top Bottom