Tulia usitangaze ha ha ha ni shiiiidaaaaaahahahaha vibaya hivo
Huko mwanza hakuna wanawake? Au ndo domo zege?Jamani mimi ni mwanaume,nahitaji mke umri wangu miaka 33 ,mi ni mfanyabiashara hapa jijini mwanza.nataka nikimbie ukapera nahitaji kuwa na familia sasa.Mwanamke ninae muhitaji awe na mvuto yaani awe mrembo na figure iwe nzuri.Karibuni wakina dada fursa hii.Sifa zake awe na umbo yaani asiwe mwembamba,miaka isizide 28,Nasubiri PM
Hahaha hahaha tukae pembeniMmh na umbo langu la mgomba fursa ishanipita hii
HahahahahahaThubutu kuna watu nimeona sura zao humu sina hamu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] usicheke kwa nguvu batastuka benyeweHahahahahaha