Davey 2017
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 109
- 133
Hapo kwenye dini ni tatizo. Kama umeamua kutafuta mwanamke aliye na mtoto ama hana basi na dini usingebaguaHabari za leo wana JF,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 38 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka asizidi 40, akiwa hana ama ana mtoto ni sawa. Mimi ni mwajiriwa na mfanyabiashara, naishi Dar es Salaam na ni mkristo.
Mengine tutajuzana, kwa mawasiliano ni PM.
Asanteni
😀 wapo, naamini watakuwepo. Huko ulikotaja utatafuta mengineUko duniani akuna ata mmjo ... nakushauli tembelea ata kimboka ..uwanja wa fisi
..
ingia PMUmepataaa
Niachie huyu muhenga mwenzangu bnaUmepataaa
Acha masihara", siitakuwa papuchi imeota kutu mkuuSijui nije? Ila hakuna kugegedana mpaka ndoa? Sijadate miaka sasa sikumbuki hata kanuni
ha ha haa, kanuni ni nyie wawili, infact mm sina tatizo na hiloSijui nije? Ila hakuna kugegedana mpaka ndoa? Sijadate miaka sasa sikumbuki hata kanuni
Hahahaaa acha uongo mama chanjaSijui nije? Ila hakuna kugegedana mpaka ndoa? Sijadate miaka sasa sikumbuki hata kanuni
Hamna Mzee baba siyo kibabe, ni u-serious kama woteMbona kibabe hivyo mzee
Kumbe anazinguaHahahaaa acha uongo mama chanja
Kumbe anazingua
Aisee !Mm ndio kibeniten wake
Njoo pm Na CV yako.nimechoka kulala peke yangu bnaha ha haa, kanuni ni nyie wawili, infact mm sina tatizo na hilo
Achana nae mwanga huyoKumbe anazingua