Davey 2017
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 109
- 133
Habari za leo wana JF,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 38 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka asizidi 40, akiwa hana ama ana mtoto ni sawa. Mimi ni mwajiriwa na mfanyabiashara, naishi Dar es Salaam na ni mkristo. Sibagui dini.
Mengine tutajuzana, kwa mawasiliano ni PM.
Asanteni
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 38 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka asizidi 40, akiwa hana ama ana mtoto ni sawa. Mimi ni mwajiriwa na mfanyabiashara, naishi Dar es Salaam na ni mkristo. Sibagui dini.
Mengine tutajuzana, kwa mawasiliano ni PM.
Asanteni