king wa kings
Member
- Jun 7, 2023
- 65
- 94
tunahitaji wake wa maisha sio demu brotherNgoja na mimi nianzishe uzi naweza pata demu
please utani weka pembeni , afu watanzania tujifunze kudeal na mambo yanayotuhusu nimeweka niko serious unaleta utani wako tena kwa kuita na wenzio . wenzio wako serious inbox tunaangalia terms na condition afu ni warembo wa kutosha na kazi zao za maana unaleta utani wako stay away plsfinancial services Bibi yangu kipenzi njoo hapa. Nipate babu
Nipo sirias Kaka. Anavigezo vyote. Usiwe mkali mkuu kwenye Jambo jema Kama hiliplease utani weka pembeni , afu watanzania tujifunze kudeal na mambo yanayotuhusu nimeweka niko serious unaleta utani wako tena kwa kuita na wenzio . wenzio wako serious inbox tunaangalia terms na condition afu ni warembo wa kutosha na kazi zao za maana unaleta utani wako stay away pls
Afu mtoto wa kiume unakujaje kwa uzi kama huu , achia tuwastili dada zako. toka lini haya maswala wanaalikana ?Nipo sirias Kaka. Anavigezo vyote. Usiwe mkali mkuu kwenye Jambo jema Kama hili
Tatizo utoto mwingi ukiona issue hazikuhusu pita kushoto , sory for this mtoto wa kiume umekaa kiumbeaumbea hivifinancial services Bibi yangu kipenzi njoo hapa. Nipate babu
hujaambiwa ulete mtu hapa mbona mtoto wa kiume unakuwa na kiherehereNipo sirias Kaka. Anavigezo vyote. Usiwe mkali mkuu kwenye Jambo jema Kama hili
please utani weka pembeni , afu watanzania tujifunze kudeal na mambo yanayotuhusu nimeweka niko serious unaleta utani wako tena kwa kuita na wenzio . wenzio wako serious inbox tunaangalia terms na condition afu ni warembo wa kutosha na kazi zao za maana unaleta utani wako stay away pls
Naona mjukuu umepania mwaka huu kula ubwabwa😀financial services Bibi yangu kipenzi njoo hapa. Nipate babu
Mkuu kila la kheriplease utani weka pembeni , afu watanzania tujifunze kudeal na mambo yanayotuhusu nimeweka niko serious unaleta utani wako tena kwa kuita na wenzio . wenzio wako serious inbox tunaangalia terms na condition afu ni warembo wa kutosha na kazi zao za maana unaleta utani wako stay away pls