Nahitaji mke

Nahitaji mke

king wa kings

Member
Joined
Jun 7, 2023
Posts
65
Reaction score
94
Nahitaji mke mwenye miaka kuanzia 34 hadi 37, akiwa na watoto wasizidi wawili, awe muajiriwa serikalini au binafsi, mweupe, akiwa kajaa itapendeza, kabila si muhimu sana, dini akiwa mkristo itapendeza na akiwa muislam inajadilika, asiwe anaishi na tegemezi zaidi ya dada.

Mimi umri niko kati ya 40 na 50 ileee, ni muajiriwa serikalini. Niliwahi leta uzi hapa kuhusu kabila fulani tulijadili vya kutosha na uamuzi ni huu; kwa anayeishi Dar au mikoa ya kati itapendeza japo si kwa umuhim.

Aliyetayari karibu inbox tuyajenge, huenda ikawa bahati yetu.
 
financial services Bibi yangu kipenzi njoo hapa. Nipate babu
please utani weka pembeni , afu watanzania tujifunze kudeal na mambo yanayotuhusu nimeweka niko serious unaleta utani wako tena kwa kuita na wenzio . wenzio wako serious inbox tunaangalia terms na condition afu ni warembo wa kutosha na kazi zao za maana unaleta utani wako stay away pls
 
please utani weka pembeni , afu watanzania tujifunze kudeal na mambo yanayotuhusu nimeweka niko serious unaleta utani wako tena kwa kuita na wenzio . wenzio wako serious inbox tunaangalia terms na condition afu ni warembo wa kutosha na kazi zao za maana unaleta utani wako stay away pls
Nipo sirias Kaka. Anavigezo vyote. Usiwe mkali mkuu kwenye Jambo jema Kama hili
 
please utani weka pembeni , afu watanzania tujifunze kudeal na mambo yanayotuhusu nimeweka niko serious unaleta utani wako tena kwa kuita na wenzio . wenzio wako serious inbox tunaangalia terms na condition afu ni warembo wa kutosha na kazi zao za maana unaleta utani wako stay away pls

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi hii kitu ni serious kumbe na mm nitakuja kutafuta mke wa 2 hapa ila mm ni 27 kushuka chini asiwe chini ya 24
 
please utani weka pembeni , afu watanzania tujifunze kudeal na mambo yanayotuhusu nimeweka niko serious unaleta utani wako tena kwa kuita na wenzio . wenzio wako serious inbox tunaangalia terms na condition afu ni warembo wa kutosha na kazi zao za maana unaleta utani wako stay away pls
Mkuu kila la kheri
 
Back
Top Bottom