Upendo Umoja
Member
- Mar 9, 2024
- 15
- 12
Mbona size yenu tupo singo, karibu ππππ tusioingia daraja la tatu kiumri hututaki mkuu??
Unacheat mara ya pili saivπππ tusioingia daraja la tatu kiumri hututaki mkuu??
πππ tusioingia daraja la tatu kiumri hututaki mkuu??
πββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈUnacheat mara ya pili saiv
Hao ni under 20 sasa sisi tumeshakua jamani π€£π€£Nyinyi under 30s mnaendana wenyewe kwa wenyewe.
Ili mpostiane vizuri huko Tik tok na instagram
π kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 wanawake wenye 30-40 asilimia 98 wanawatoto, na asilimia 2 ndio hawana watoto.
Wanawake wenye 30-40 ambao hawajaolewa ni asilimia 85.
Wanawake wenye 30-40 kwa asilimia 90 ndio wanaongoza kwa vizinga.
Wanawake wenye 30-40 ndio wanaongoza kwa misongo ya mawazo.
Wanawake wenye 30-40 ndio wanaongoza kwa kuachika kwenye ndoa zao kwa asilimia 98.
Sio Mimi hizo ni takwimu.
ππah nyie umiza kichwa hawa watu age go ndio wazuri wamejaa utu na utulivuMbona size yenu tupo singo, karibu π
Angalia usiangukeAll the Best
Jaribu uone kama namim ni umiza kichwa πππah nyie umiza kichwa hawa watu age go ndio wazuri wamejaa utu na utulivu
Karibu, nipe sifa zakoπππ tusioingia daraja la tatu kiumri hututaki mkuu??
mkuu sifa zangu zanini tena, mi ni mwamba wa lusaka.Karibu nipe sifa zako. Ni Pm
Anabishana na Mungu. Mwache apoteze focus.mungu amejitahidi kukulinda kwa miaka 45 ila kwa kiburi chako unatafuta mtu wa kukufilisi na kupelekana mahakamani mkagombanie mgawanyo wa mali?!! kila la kheri