Nahitaji mkopo, dhamana ni title deed ya kiwanja

Joined
Jun 21, 2014
Posts
49
Reaction score
9
Nawezaje kupata mkopo wa laki 6 kwa kuweka dhamana ya title ya kiwanja changu kimepimwa na serikali kipo Mkuranga...

Nitalipa hiyo pesa kwa muda wa miezi 7
 
Ainisha upon tayari kulipa riba ya % kwa kipindi hichi na upo wapi
[
QUOTE=Tanzania Halisi;10842480]Nawezaje kupata mkopo wa laki 6 kwa kuweka dhamana ya title ya kiwanja changu kimepimwa na serikali kipo Mkuranga...

Nitalipa hiyo pesa kwa muda wa miezi 7[/QUOTE]
 
Title deed!!
Huko mkulanga bado serikali kuidhinisha hati milki.sema una sales agreement"hati ya mauziano'toka serikali za mtaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…