kiasi ganiNdugu zangu naombeni msaada wenu. Nahitaji Mkopo kwa ajili ya kufanya biashara ya Mbazi. Soko lipo ila sina mtaji. Naomben mnikiposhe million 1 ntaweka dhamana vyeti vyangu vya O level na Chuo. Ntarejesha ndan ya mwezi mmoja. Nipo Dar es Salaam. Please niko tayari kwa mazungumzo. Nawasikilizen wadau. Thanx sana
Million moja narudisha ndani ya mwez mmojakiasi gani
unauzaje boss>?Biashara ya mbaazi? Nicheki 0683794314
Unataka kwaajili ya kufanyia nini? na kwasasa unafanya shughuli ganiNdugu zangu naombeni msaada wenu. Nahitaji Mkopo kwa ajili ya kufanya biashara ya Mbazi. Soko lipo ila sina mtaji. Naomben mnikiposhe million 1 ntaweka dhamana vyeti vyangu vya O level na Chuo. Ntarejesha ndan ya mwezi mmoja. Nipo Dar es Salaam. Please niko tayari kwa mazungumzo. Nawasikilizen wadau. Thanx sana
Kwenye hivyo vyeti matokeo yako yapoje? Usije ukaweka bond vyeti kumbe vina F za kutosha sana,Ndugu zangu naombeni msaada wenu. Nahitaji Mkopo kwa ajili ya kufanya biashara ya Mbazi. Soko lipo ila sina mtaji. Naomben mnikiposhe million 1 ntaweka dhamana vyeti vyangu vya O level na Chuo. Ntarejesha ndan ya mwezi mmoja. Nipo Dar es Salaam. Please niko tayari kwa mazungumzo. Nawasikilizen wadau. Thanx sana
Hahahaha mkuu chuo hakuna fffffffKwenye hivyo vyeti matokeo yako yapoje? Usije ukaweka bond vyeti kumbe vina F za kutosha sana,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] imenibidi nicheke msibaniKwenye hivyo vyeti matokeo yako yapoje? Usije ukaweka bond vyeti kumbe vina F za kutosha sana,
Anavipeleka NECTA watamlipa deni lake!!Ukishindwa kurudisha mkopeshaji atavifanya nin hivyo vyeti ili kufidia pesa yake?
maguzu masese!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anavipeleka NECTA watamlipa deni lake!!
Kwa NECTA ipi hii ya Tz au ya nchi nyingineAnavipeleka NECTA watamlipa deni lake!!
hata mi najiuliza...Ukishindwa kurudisha mkopeshaji atavifanya nin hivyo vyeti ili kufidia pesa yake?
Akikujibu nitagUkishindwa kurudisha mkopeshaji atavifanya nin hivyo vyeti ili kufidia pesa yake?
Ukitaka kujua umuhimu wake muulize DAB aliuziwa bei ganihata mi najiuliza...
shahidi bashiteSikuizi vyeti siyo dili kama unavyodhani mkuu
Chuo umesoma msoma utalii aMie nauza vyeti vyangu ...elimu ya sekondari hadi chuo kikuu. Mwenye uhitaji ani pm.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] imenibidi nicheke msibani