Ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu, nahitaji mkopo kwa ajili ya kufanya biashara ya Mbaazi soko lipo ila sina mtaji naombeni mnikiposhe million 1.
Nitaweka dhamana vyeti vyangu vya O level na chuo nitarejesha ndani ya mwezi mmoja,nipo Dar es Salaam Please niko tayari.
Kwa mazungumzo nawasikilizeni wadau. Thanks sana
Naombeni msaada wenu, nahitaji mkopo kwa ajili ya kufanya biashara ya Mbaazi soko lipo ila sina mtaji naombeni mnikiposhe million 1.
Nitaweka dhamana vyeti vyangu vya O level na chuo nitarejesha ndani ya mwezi mmoja,nipo Dar es Salaam Please niko tayari.
Kwa mazungumzo nawasikilizeni wadau. Thanks sana