barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wewe sio yule jamaa humu aliyeweka uzi wa BURIANI VYETI VYANGU?Ndugu zangu naombeni msaada wenu. Nahitaji Mkopo kwa ajili ya kufanya biashara ya Mbazi. Soko lipo ila sina mtaji. Naomben mnikiposhe million 1 ntaweka dhamana vyeti vyangu vya O level na Chuo. Ntarejesha ndan ya mwezi mmoja. Nipo Dar es Salaam. Please niko tayari kwa mazungumzo. Nawasikilizen wadau. Thanx sana
Ataviuza kwa MakondaaUkishindwa kurudisha mkopeshaji atavifanya nin hivyo vyeti ili kufidia pesa yake?
Mshahara wako unapitia bank ganijamn mm mwenyewe nahtaji m.1 ila mm ni mfanyakazi wa serikali so mwenye uwezo anikopeshe baada ya mwezi narudisha dhamana yangu ni vyeti pamoja na kazi yangu inshort siwez acha kurudisha
nmb bossMshahara wako unapitia bank gani
nmb boss
Umenifananisha mkuuWewe sio yule jamaa humu aliyeweka uzi wa BURIANI VYETI VYANGU?
O level div 3 A level 1.7 chuo 2nd classUlipataj o level
EquityMshahara wako unapitia bank gani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ujue vijana jf wamevurugwa haya tuseme vina A zote utafanyia nini ??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] imenibidi nicheke msibani